Category : Kitelezi
MKURUGENZI MKUU CBT ATOA UFAFANUZI KUHUSIANA NA MCHANGO WA ZAO LA KOROSHO KATIKA KUINUA UCHUMI – MTWARA
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania ndg. Francis Alfred amesema kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kufanya jitihada mbalimbali zinazolenga kustawisha...
WADAU WA KOROSHO WAKUTANA KUPITIA MIONGOZO KWA MSIMU WA 2025/2026
Wadau mbalimbali katika mnyororo wa thamani wa zao la korosho wakiwemo Katibu Tawala Wasaidizi Uchumi na Uzalishaji, Warajisi wa Mikoa, Wenyeviti na Meneja wa Vyama...
BODI YA WAKURUGENZI CBT YAITAKA MENEJIMENTI KUSIMAMIA VEMA TASNIA YA KOROSHO
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Korosho Tanzania Brig. Gen. mstaafu Aloyce D. Mwanjile (ndc) ameitaka Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) kuendelea kuwaunga...
WATUMISHI CBT WAKUMBUSHWA KUJAZA MAJUKUMU YAO KATIKA PEPMIS
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) Ndg. Francis Alfred amewataka watumisi wote wa taasisi hiyo kufanya kazi kwa bidii ikiwa ni pamoja na...
MAAFISA KILIMO WATAKIWA KUENDELEA KUTOA ELIMU KUHUSU UZALISHAJI WA KOROSHO
Mkuu wa mkoa wa Lindi Bi. Zainab Telack ametoa wito kwa maafisa kilimo kuendelea kutoa elimu kwa wakulima wa zao la korosho ili kufikia lengo...