Category : Habari Zinazojiri
MKUTANO MKUU WA WADAU WA TASNIA YA KOROSHO WAFANYIKA JIJINI DODOMA
Waziri wa kilimo Mhe. Hussein Bashe amewataka wadau mbalimbali kuendelea kushirikiana na Bodi ya Korosho Tanzania katika kusimamia vema Tasnia ya Korosho ikiwa ni Pamoja...
WAZIRI JAFO AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA KUSINI
Waziri wa Viwanda na Biashara nchini Mhe. Dkt. Suleiman Jafo amehitimisha rasmi maonesho ya sikukuu ya wakulima (NANENANE) kanda ya kusini – Ngongo mkoani Lindi....
VIJANA NA WANAWAKE WAHIMIZWA KUJIHUSISHA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA KOROSHO
Vijana na wanawake wa mikoa inayozalisha zao la korosho nchini, wametakiwa kujihusisha katika shughuli za uongezaji thamani wa zao hilo ili kutanua wigo wa matumizi...
MKURUGENZI MKUU CBT ATOA UFAFANUZI KUHUSIANA NA MCHANGO WA ZAO LA KOROSHO KATIKA KUINUA UCHUMI – MTWARA
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania ndg. Francis Alfred amesema kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kufanya jitihada mbalimbali zinazolenga kustawisha...
WADAU WA KOROSHO WAKUTANA KUPITIA MIONGOZO KWA MSIMU WA 2025/2026
Wadau mbalimbali katika mnyororo wa thamani wa zao la korosho wakiwemo Katibu Tawala Wasaidizi Uchumi na Uzalishaji, Warajisi wa Mikoa, Wenyeviti na Meneja wa Vyama...