Disemba 20, 2025 02:45
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

KIKAO NA MTANDAO WA WAKULIMA WA KOROSHO TANZANIA

Bodi ya Korosho Tanzania imefanya kikao na Mtandao wa Wakulima wa Korosho Tanzania (TCGN) Katika ofisi za Bodi ya Korosho Tanzania mkoani Mtwara. Mtandao huu ulianzishwa mwaka 2019 ukiwa na majukumu mbalimbali kama vile kuwaunganisha wakulima wa zao la Korosho kuwa na sauti moja, kuwaelimisha wakulima pia kuwa daraja kati ya wakulima na Serikali.

Related posts

NYONGEZA NA. 1 YA MWONGOZO NA. 2 WA USIMAMIZI NA UDHIBITI UBORA WA KOROSHO GHAFI KWA MWAKA 2023/2024

Peter Luambano

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA AMEZINDUA UGAWAJI PIKIPIKI NA VISHIKWAMBI KWA MAAFISA KILIMO WA BBT-KOROSHO

Amani Ngoleligwe

UZINDUZI WA BARAZA LA WAFANYAKAZI

Fesam