Juni 16, 2025 03:44
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

KIKAO NA MTANDAO WA WAKULIMA WA KOROSHO TANZANIA

Bodi ya Korosho Tanzania imefanya kikao na Mtandao wa Wakulima wa Korosho Tanzania (TCGN) Katika ofisi za Bodi ya Korosho Tanzania mkoani Mtwara. Mtandao huu ulianzishwa mwaka 2019 ukiwa na majukumu mbalimbali kama vile kuwaunganisha wakulima wa zao la Korosho kuwa na sauti moja, kuwaelimisha wakulima pia kuwa daraja kati ya wakulima na Serikali.

Related posts

RAIS DKT. SAMIA KUZINDUA BENKI YA USHIRIKA NCHINI

Amani Ngoleligwe

TANI 180,342 ZA KOROSHO ZAUZWA NDANI YA WIKI TATU MSIMU WA 2024/2025.

Amani Ngoleligwe

UHUISHAJI TAARIFA ZA WAKULIMA WA KOROSHO WAENDELEA KWA UFANISI MKUBWA MSIMU WA 2024/2025

Amani Ngoleligwe