Febuari 5, 2026 02:39
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

KIKAO NA MTANDAO WA WAKULIMA WA KOROSHO TANZANIA

Bodi ya Korosho Tanzania imefanya kikao na Mtandao wa Wakulima wa Korosho Tanzania (TCGN) Katika ofisi za Bodi ya Korosho Tanzania mkoani Mtwara. Mtandao huu ulianzishwa mwaka 2019 ukiwa na majukumu mbalimbali kama vile kuwaunganisha wakulima wa zao la Korosho kuwa na sauti moja, kuwaelimisha wakulima pia kuwa daraja kati ya wakulima na Serikali.

Related posts

Bodi ya Korosho yawaonya wafanyabiashara wanaozitorosha Korosho nje ya nchi

Peter Luambano

TARATIBU ZA UNUNUZI NA USAFIRISHAJI WA KOROSHO ZILIZOBANGULIWA(KERNELS) KUTOKA KWENYE VIKUNDI VYA WABANGUAJI NA WAKULIMA NDANI YA NCHI

Peter Luambano

Wajumbe wakiwa kwenye Mkutano wa kimataifa wa korosho uliofanyika Tanzania katika ukumbi wa Mikutano ya kimataifa wa Julius Nyerere

Peter Luambano