Agosti 1, 2025 03:39
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

KIKAO NA MTANDAO WA WAKULIMA WA KOROSHO TANZANIA

Bodi ya Korosho Tanzania imefanya kikao na Mtandao wa Wakulima wa Korosho Tanzania (TCGN) Katika ofisi za Bodi ya Korosho Tanzania mkoani Mtwara. Mtandao huu ulianzishwa mwaka 2019 ukiwa na majukumu mbalimbali kama vile kuwaunganisha wakulima wa zao la Korosho kuwa na sauti moja, kuwaelimisha wakulima pia kuwa daraja kati ya wakulima na Serikali.

Related posts

KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUGENZI ROBO YA TATU YA MWAKA

Peter Luambano

MAONESHO YA NANENANE 2022-MBEYA

Fesam

TARATIBU ZA UNUNUZI NA USAFIRISHAJI WA KOROSHO ZILIZOBANGULIWA(KERNELS) KUTOKA KWENYE VIKUNDI VYA WABANGUAJI NA WAKULIMA NDANI YA NCHI

Peter Luambano