NHIF YATOA ELIMU YA MATUMIZI YA BIMA KWA WATUMISHI CBT
Wataalam kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) septemba 10/2025, wametembelea ofisi za Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) ili kutoa elimu ya matumizi ya bima na namna mtumishi wa Umma anavyonufaika na bima hiyo pamoja na elimu kuhusu kifurushi cha huduma za ziada ambacho watumishi wa CBT wananufaika…
BALOZI AVETISYAN ATEMBELEA BODI YA KOROSHO, KONGANI LA VIWANDA MARANJE
BALOZI AVETISYAN ATEMBELEA BODI YA KOROSHO, KONGANI LA VIWANDA MARANJE
Balozi wa Urusi nchini Tanzania Mhe. Andrey Avetisyan ametembelea Ofisi za Bodi ya Korosho Tanzania pamoja na eneo la kongani...
MKUTANO MKUU WA WADAU WA TASNIA YA KOROSHO WAFANYIKA JIJINI DODOMA
MKUTANO MKUU WA WADAU WA TASNIA YA KOROSHO WAFANYIKA JIJINI DODOMA
Waziri wa kilimo Mhe. Hussein Bashe amewataka wadau mbalimbali kuendelea kushirikiana na Bodi ya Korosho Tanzania katika kusimamia vema Tasnia...
WAZIRI JAFO AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA KUSINI
WAZIRI JAFO AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA KUSINI
Waziri wa Viwanda na Biashara nchini Mhe. Dkt. Suleiman Jafo amehitimisha rasmi maonesho ya sikukuu ya wakulima (NANENANE) kanda ya...
VIJANA NA WANAWAKE WAHIMIZWA KUJIHUSISHA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA KOROSHO
VIJANA NA WANAWAKE WAHIMIZWA KUJIHUSISHA UONGEZAJI THAMANI ZAO LA KOROSHO
Vijana na wanawake wa mikoa inayozalisha zao la korosho nchini, wametakiwa kujihusisha katika shughuli za uongezaji thamani wa zao hilo...
MKURUGENZI MKUU CBT ATOA UFAFANUZI KUHUSIANA NA MCHANGO WA ZAO LA KOROSHO KATIKA KUINUA UCHUMI – MTWARA
MKURUGENZI MKUU CBT ATOA UFAFANUZI KUHUSIANA NA MCHANGO WA ZAO LA KOROSHO...
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania ndg. Francis Alfred amesema kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea...