Author : Amani Ngoleligwe
KANALI SAWALA: MAFUNZO YA UMAHIRI KWENYE MNYORORO WA THAMANI WA ZAO LA KOROSHO KULETA TIJA KWA WASHIRIKI
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala amesema kuwa ni matumaini yake kuwa mafunzo ya Umahiri Kwenye Mnyororo wa Thamani wa zao la korosho...
DKT. KIRUSWA ATEMBELEA BANDA LA MAONESHO CBT NA KUPONGEZA JUHUDI ZA RAIS DKT. SAMIA
Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali wakulima wa korosho ikiwa...
AFISA KILIMO CBT AKITOA ELIMU KATIKA CHOMBO CHA HABARI LINDI
Afisa Kilimo kutoka Bodi ya Korosho Tanzania ndg. Mohamed Kaid akiwa katika moja ya kituo cha redio mkoani Lindi akitoa elimu kuhusu kanzidata, usambazaji, ugawaji...
MADIWANI WA HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA WATEMBELEA MRADI WA KONGANI LA VIWANDA MARANJE
Madiwani wa Halmashauri ya mji Nanyamba wameeleza kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi wa Kongani la viwanda vya kubangua korosho lililopo katika Kijiji cha...
WAKULIMA MNOLELA: TANGU TUANZE KUPOKEA PEMBEJEO ZA RUZUKU MAMBO YANAKWENDA VIZURI SANA
Wakati zoezi la ugawaji pembejeo za ruzuku katika zao la korosho likiendelea katika mikoa mbalimbali inayolima zao hilo nchini, wakulima wa kata ya Mnolela mkoani...
KIKAO NA MTANDAO WA WAKULIMA WA KOROSHO TANZANIA
Bodi ya Korosho Tanzania imefanya kikao na Mtandao wa Wakulima wa Korosho Tanzania (TCGN) Katika ofisi za Bodi ya Korosho Tanzania mkoani Mtwara. Mtandao huu...
BOT – MTWARA YATOA ELIMU YA FEDHA BODI YA KOROSHO TANZANIA
Wataalam kutoka Benki kuu ya Tanzania Tawi la Mtwara wametoa elimu juu ya alama za usalama zilizoko kwenye noti itolewayo na Benki Kuu ya Tanzania,...
WAKULIMA WA KOROSHO MAYANGA AMCOS WAISHUKURU SERIKALI KUWAPATIA PEMBEJEO KWA WAKATI
Baadhi ya wakulima wa zao la korosho kutoka Chama cha Msingi cha Mayanga (Mayanga AMCOS) kilichopo katika kata ya Mayanga mkoani Mtwara, wameishukuru serikali ya...
WAZIRI BASHE AMSHUKURU RAIS DKT. SAMIA KURUHUSU EXPORT LEVY ITUMIKE KWA WAKULIMA
Waziri wa kilimo nchini, Mhe. Hussein Bashe ameeleza manufaa ya TOZO YA USAFIRISHAJI WA ZAO LA KOROSHO GHAFI NJE YA NCHI (EXPORT LEVY) kutumika kwa...

