DKT. KIRUSWA ATEMBELEA BANDA LA MAONESHO CBT NA KUPONGEZA JUHUDI ZA RAIS DKT. SAMIA
Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali wakulima wa korosho ikiwa ni pamoja na kuwapatia pembejeo za ruzuku na kuwa na utashi wa kisiasa katika kuendeleza Sekta ya Kilimo nchini.
Pia Dkt. Kiruswa ameipongeza Bodi ya…
AFISA KILIMO CBT AKITOA ELIMU KATIKA CHOMBO CHA HABARI LINDI
AFISA KILIMO CBT AKITOA ELIMU KATIKA CHOMBO CHA HABARI LINDI
Afisa Kilimo kutoka Bodi ya Korosho Tanzania ndg. Mohamed Kaid akiwa katika moja ya kituo cha redio mkoani Lindi akitoa...
MADIWANI WA HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA WATEMBELEA MRADI WA KONGANI LA VIWANDA MARANJE
MADIWANI WA HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA WATEMBELEA MRADI WA KONGANI LA VIWANDA...
Madiwani wa Halmashauri ya mji Nanyamba wameeleza kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi wa Kongani la viwanda vya kubangua...
WAKULIMA MNOLELA: TANGU TUANZE KUPOKEA PEMBEJEO ZA RUZUKU MAMBO YANAKWENDA VIZURI SANA
WAKULIMA MNOLELA: TANGU TUANZE KUPOKEA PEMBEJEO ZA RUZUKU MAMBO YANAKWENDA VIZURI SANA
Wakati zoezi la ugawaji pembejeo za ruzuku katika zao la korosho likiendelea katika mikoa mbalimbali inayolima zao hilo nchini, wakulima...
KIKAO NA MTANDAO WA WAKULIMA WA KOROSHO TANZANIA
KIKAO NA MTANDAO WA WAKULIMA WA KOROSHO TANZANIA
Bodi ya Korosho Tanzania imefanya kikao na Mtandao wa Wakulima wa Korosho Tanzania (TCGN) Katika ofisi za Bodi ya Korosho...
BOT – MTWARA YATOA ELIMU YA FEDHA BODI YA KOROSHO TANZANIA
BOT – MTWARA YATOA ELIMU YA FEDHA BODI YA KOROSHO TANZANIA
Wataalam kutoka Benki kuu ya Tanzania Tawi la Mtwara wametoa elimu juu ya alama za usalama zilizoko kwenye noti itolewayo...
WAKULIMA WA KOROSHO MAYANGA AMCOS WAISHUKURU SERIKALI KUWAPATIA PEMBEJEO KWA WAKATI
WAKULIMA WA KOROSHO MAYANGA AMCOS WAISHUKURU SERIKALI KUWAPATIA PEMBEJEO KWA WAKATI
Baadhi ya wakulima wa zao la korosho kutoka Chama cha Msingi cha Mayanga (Mayanga AMCOS) kilichopo katika kata ya Mayanga...
WAZIRI BASHE AMSHUKURU RAIS DKT. SAMIA KURUHUSU EXPORT LEVY ITUMIKE KWA WAKULIMA
WAZIRI BASHE AMSHUKURU RAIS DKT. SAMIA KURUHUSU EXPORT LEVY ITUMIKE KWA WAKULIMA
Waziri wa kilimo nchini, Mhe. Hussein Bashe ameeleza manufaa ya TOZO YA USAFIRISHAJI WA ZAO LA KOROSHO GHAFI NJE YA...
BASHE: BENKI YA USHIRIKA TANZANIA (COOP BANK TANZANIA) KUANZA NA MTAJI WA BILLIONI 55
BASHE: BENKI YA USHIRIKA TANZANIA (COOP BANK TANZANIA) KUANZA NA MTAJI WA...
Benki ya Ushirika Tanzania itaanza na Mtaji wa Shilingi Billioni 55 ikiwa ni Benki ya kwanza nchini inayomilikiwa kwa asilimia...