Kikao cha 12 cha Bodi ya Wakurugenzi
Bodi ya Wakurugenzi katika kikao chake cha robo ya tatu ya mwaka 2023/2024 ili kupitia na kujadili taarifa ya utekelezaji iliyowasilishwa na Menejimenti imetoa maelekezo mahsusi ikiwemo usimamizi wa mradi wa ujenzi wa Kongani la Viwanda vya kubangua korosho kijiji cha Maranje Mkoa wa Mtwara.
Bodi imeelekeza menejimenti kusimamia mradi…
KIKAO CHA TATHMINI YA UZALISHAJI, MASOKO NA UBANGUAJI WA KOROSHO MSIMU WA 2023/2024
KIKAO CHA TATHMINI YA UZALISHAJI, MASOKO NA UBANGUAJI WA KOROSHO MSIMU WA...
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) ameongoza Mkutano wa Tathmini ya Uzalishaji, Ubanguaji na Masoko ya zao la Korosho...
WAKULIMA WA KOROSHO KUENDELEA KUNEEMEKA NA PEMBEJEO ZA RUZUKU YA SERIKALI.
WAKULIMA WA KOROSHO KUENDELEA KUNEEMEKA NA PEMBEJEO ZA RUZUKU YA SERIKALI.
Wakulima wa Korosho nchini wataendelea kunufaika na pembejeo za ruzuku ya serikali kwaajili ya kuwakwamua na kuwaendeleza kiuchumi, hayo yamesemwa...
Bodi ya Korosho yawaonya wafanyabiashara wanaozitorosha Korosho nje ya nchi
Bodi ya Korosho yawaonya wafanyabiashara wanaozitorosha Korosho nje ya nchi
Bodi ya Korosho Tanzania imewaonya baadhi ya wanunuzi wa zao la Korosho wanaonunua baada ya msimu kufungwa na kutaka kuzitorosha...
BODI YA KOROSHO NA MWENDELEZO WA UBORESHAJI WA KANZI DATA YA WAKULIMA WA KOROSHO NCHINI
BODI YA KOROSHO NA MWENDELEZO WA UBORESHAJI WA KANZI DATA YA WAKULIMA...
Maafisa wa Bodi ya korosho Tanzania wakiwa katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Tunduru mbele ya Katibu Tawala wa...
ELIMU YA MAZINGIRA NA HEWA YA UKAA KWA BODI YA WAKURUGENZI
ELIMU YA MAZINGIRA NA HEWA YA UKAA KWA BODI YA WAKURUGENZI
RUZIKA N. MUHETO mtaalam wa mazingira na hewa ya ukaa akiwasilisha mada yenye kuelezea umuhimu wa zao la Korosho katika...