Benki ya Ushirika Tanzania itaanza na Mtaji wa Shilingi Billioni 55 ikiwa ni Benki ya kwanza nchini inayomilikiwa kwa asilimia 51 na vyama vya ushirika...
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Benki ya Ushirika (Coop Bank Tanzania), lengo likiwa ni kufufua benki za kijamii zilizofilisika nchini. Akizungumza na Waandishi...
Imeelezwa kuwa mfumo wa stakabadhi ghalani, unaotumiwa na wakulima wa zao la korosho, mbaazi na ufuta nchini ni wenye tija na unalenga kumnufaisha mkulima na...
Bodi ya wakurugenzi wa Bodi ya Korosho Tanzania iliyoteuliwa hivi karibuni ikiongozwa na Mwenyekiti Brig. Gen. (Mstaafu) Aloyce D. Mwanjile ndc imefanya kikao chake cha...
Mkuu wa mkoa wa Lindi Mhe. Zainabu Telack amezindua ugawaji wa vitendea kazi ambavyo ni pikipiki 152 na vishikwambi 152 kwa maafisa kilimo walioajiriwa na...
Zoezi la uhuishaji wa taarifa za wakulima wa zao la korosho linaendelea kwa mafanikio makubwa katika ofisi za vijiji yalipo mashamba ya wakulima likiwa chini...
Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe. Kanali Michael Mtenjele, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala, amezindua ugawaji pikipiki 500...