Agosti 21, 2025 10:58
Bodi ya Korosho Tanzania
Habari ZinazojiriKiteleziMatukio

KIKAO CHA KAMATI YA UENDELEZAJI ZAO YA BODI YA KOROSHO TANZANIA

KIKAO CHA SABA (7) CHA KAMATI YA UENDELEZAJI ZAO YA BODI YA KOROSHO TANZANIA TAREHE 02 JANUARI, 2023 UKUMBI WA MIKUTANO WA BODI YA KOROSHO MTWARA

Ajenda kuu ni:-

  • Kupitia utekelezaji wa yatokanayo na kikao cha Bodi yahusuyo kamati ya uendelezaji zao cha tarehe 19 Oktoba, 2022.
  • Taarifa ya utekelezaji wa robo ya pili kuanzia Oktoba – Disemba 2022 na mpango kazi wa robo ya tatu januari – Machi 2023.
  • Taarifa ya miradi ya ujenzi wa ghala za Tunduru, Mkinga na Mkuranga.
  • Mapendekezo ya uanzishaji wa kiwanda kidogo cha kubangua korosho.

Kikao hicho kimeongozwa na mwenyekiti wa Kamati ya uendelezaji zao ambae pia ni mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Korosho Tanzania, Mhe.Mussa Manjaule.

Related posts

TICC EVENT PUBLIC ANOUNCEMENT

Peter Luambano

MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KUENDELEA KULETA TIJA NA MANUFAA KWA WAKULIMA

Amani Ngoleligwe

TANGAZO LA KAZI

Peter Luambano