Skip to main content
TANGAZO LA AJIRA YA MUDA
19 Aug, 2026
admin
Habari na Matukio

TANGAZO LA AJIRA YA MUDA

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania anakaribisha maombi ya ajira ya muda kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 5 za madereva (kwa ajira ya Mkataba) kama ilivyoainishwa katika tangazo hili

Lebo: