Habari na Matukio
Pata habari za hivi karibuni kutoka Bodi ya Korosho.
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA VIWANDA, BIASHARA, KILIMO NA MIFUGO YATEMBELEA BANDA LA CBT MAONESHO YA NANENANE
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo ikiongozwa na Mwenyekiti wake,...
CBT YAENDELEA KUTOA ELIMU NA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA WA KOROSHO NANENANE - MOROGORO
MorogoroBanda la Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea mkoani Morogoro limeendelea...
MWENYEKITI WA CBT AWATAKA WAKULIMA KUTUMIA VIUATILIFU VYA MAJI ILI KUONGEZA TIJA KATIKA UZALISHAJI
LindiMwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), Brig. Gen. (Mstaafu) Aloyce...
WATAFITI KUTOKA KENYA WATEMBELEA BODI YA KOROSHO TANZANIA KUJIFUNZA USIMAMIZI WA TASNIA YA KOROSHO
Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) Julai 30, 2026 imepokea ujumbe wa watafiti tisa (9) kutoka...
WADAU WA TASNIA YA KOROSHO WAKUTANA KUJADILI FURSA ZA MASOKO ULAYA
Wadau wa tasnia ya korosho kutoka Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), wabanguaji wa korosho, TANECU,...
WAKULIMA WA KOROSHO MAYANGA AMCOS WAISHUKURU SERIKALI KUWAPATIA PEMBEJEO KWA WAKATI
Baadhi ya wakulima wa zao la korosho kutoka Chama cha Msingi cha Mayanga (Mayanga AMCOS)...