WATAFITI KUTOKA KENYA WATEMBELEA BODI YA KOROSHO TANZANIA KUJIFUNZA USIMAMIZI WA TASNIA YA KOROSHO
Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) Julai 30, 2026 imepokea ujumbe wa watafiti tisa (9) kutoka nchini Kenya waliotembelea Tanzania kwa lengo la kujifunza mfumo wa usimamizi na maendeleo ya tasnia ya korosho.