Skip to main content
Picha ya jengo la taasisi

Kuhusu Bodi ya Korosho Tanzania

Bodi ya korosho Tanzania ni Taasisi ya Umma iliyo chini ya Wizara ya Kilimo iliyoundwa chini ya sheria ya Tasnia ya korosho Sura ya 203 Toleo la Mwaka 2023, inayoipa jukumu la usimamizi wa Tasnia ya korosho kwenye mnyororo mzima wa thamani kuanzia kwa mkulima hadi kwa mlaji wa mwisho.

Dira Yetu

Dhima Yetu

Maadili ya Msingi

Maadili ya Msingi

Kumjali Mteja

Uadilifu Katika Utoaji Huduma

Kutokuwa na Upendeleo wa Aina Yoyote

Uwajibikaji wa Hali ya Juu

Kutoa Huduma kwa Uwazi